About us

New Music

View All

Pictures

Entertainment

View All

Video

Follow Us

Join the Club

 photo addspace.png

Ads

Contact Form

Name

Email *

Message *

Blogroll

Category 3

Category 6

Flickr Images

Category 4

Category 7

Label

Sports

Entertainment

Entertainment

Powered by Blogger.

Latest News

You are here: Home / Hizi ni Sifa za Rihanna Kwa Wizkid Wa Nigeria

Hizi ni Sifa za Rihanna Kwa Wizkid Wa Nigeria

| No comment
Siku kadhaa baada ya Rihanna kuweka wazi kuwa anamzimia mchezaji wa Ghana, Kevin-Prince Boateng, ameonesha kukikubali kipaji cha mwimbaji wa Nigeria Wizkid.


Wizkid ameeleza jinsi alivyosifiwa na Rihanna wakati akiwa studio anafanya kazi huko Marekani kwa kuandika kwenye akaunti ya Twitter.


 Wizkid ni rafiki wa karibu wa Chris Brown na tayari wameshafanya kazi. Mbali na Rihanna, Karrueche Tran na Justin Bieber walionesha kumkubali Wizkid.